1 Bedrooms House for Rent in Kigamboni, Dar Es Salaam


NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI
<> location Ferry
<> nyumba ina chumba kimoja master mpya kubwa
✅nyumba iko fenced
✅nyumba ina parking
✅nyumba ina electric ⚡️
✅Umeme luku yako
✅nyumba mpya na safi
<> asking price tsh,, 200k per month
mwezi moja wa dalali kisiwani
<> services charge 20k zingatia utalatibu
◾️mawasiliano
✅0628505896
✅0763954837




















