1 Bedrooms House for Rent in Kimara, Dar Es Salaam







MASTER BEDROOM NZURI INAPANGISHWA – KIMARA BUCHA
📍 Mahali: Kimara Bucha
🕗 Umbali: Takribani 1 km kutoka stand ya Mwendo Kasi.
🚶 Kwa mguu dakika 15 tu, na kwa bodaboda Tsh 1000 mpaka getini.
🏠 SIFA ZA NYUMBA
Chumba kimoja Master Bedroom.
Umeme wa LUKU (Submeter binafsi imefungwa).
Maji safi yanapatikana masaa 24/7.
Fensi & Parking kubwa na salama.
👉 Chumba kitakuwa wazi tarehe 29/03/2026 kuona ndani na kufanya luksa kabisa kwa uhuru. Booking inaruhusiwa.
GHARAMA
Kodi: Tsh 130,000 × miezi 6
Malipo ya Dalali: Tsh 130,000
Service Charge: Tsh 20,000
📞 Piga Simu:
💬 WhatsApp inapatikana
🙏 Please Follow Us
🤝 Karibu sana mteja halisi 😊
CALL 0659244543




















