1 Bedrooms House for Rent at Ubungo, Dar Es Salaam


📣Inapangishwa UBUNGO KIBO MSEWE
📍 Nyumba Lamii😍
📍 Kodi 350,000/= x6
__
___
• Jiko
• Sebule Nzuri
• Chumba Kimoja Cha Kulala
• Choo Ndani
* Inajitegemea UMEME na Maji
* Water Reserve Tanks
* Ndani ya Fensi
* Paving Blocks
* Maji Ndani
* Mazingira mazuri na tulivu
#Nyumba Inagusa Lami, barabara nzuri hata kwa gari ya chini
______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni Tsh 350,000/=
#Kupelekwa Kuona ni 15,000/=
_________
№:- 0753-172-516