4 Bedrooms House for Rent at Magomeni, Dar Es Salaam


Nyumba iyo ni stend alone
@
Inapangishwa
@
Bei 600,000
@
Ipo maeneo ya magomeni kagera
@
Ni vyumba 4 sebule jiko choo
@
Chumba kimoja master
@
Umeme maji inajitegemea
@
Fensi no parkingi
@
Grama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687