4 Bedrooms House for Rent at Wazo, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA YA KUPANGISHA – TEGETA WAZO (Mita 600 kutoka Lami)
📍 Eneo: Tegeta Wazo – ipo kwenye mtaa mzuri sana, tulivu, umbali wa mita 600 kutoka barabara kuu (lami)
Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba 4 (3 ni Master bedrooms – kila moja na choo chake)
🛋️ Sebule kubwa ya kifamilia
🍽️ Jiko + Sehemu ya kulia chakula (Dining)
🚽 Choo cha Public (cha wageni)
🚗 Parking ya kutosha
💧 Maji ya uhakika kila siku
✅ Mazingira salama na tulivu
✅ Inafaa kwa familia kubwa au mtu anayetafuta nafasi zaidi
💰 Kodi: TSh 800,000 kwa mwezi
📞 Wasiliana:
#0689138795whatsapp
#0758998074👈



















