4 Bedrooms House for sale at Kinyerezi, Dar Es Salaam
NYUMBA NNE PAMOJA ZINAUZWA NA BANK, TSHS.55 MILIONI. KINYEREZI MBUYUNI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 750.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Enek lipo umbali wa mita 800 kutoka Barabara ya Lami.
Nyumba 3 kila moja ina vyumba 3 (Masta 1) Sebule,
Jiko, Dining-room na Choo cha Familia ndani.
Nyumba moja haijakamilika na ni ya vyumba vinne (4)
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.