4 Bedrooms House for sale at Kitunda, Dar Es Salaam







NYUMBA YA VYUMBA VINNE (4) IMESHUSHWA BEI MACHIMBO-KITUNDA.
Wanasema kimfaacho mtu chake.
Imeporomoshwa Bei ili kukidhi MAHITAJI ya DHARULA ya MUUZAJI.
Nyumba ya kisasa nzuri na yenye nafasi.
Vyumba 4 (Masta 1) Pia Ina Sebule,
Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Sasa INAUZWA TSHS.40 MILIONI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 750.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Maji,Umeme,Garden, ACs, Parking ya kutosha.
Na ipo jirani na Kituo cha Daladala.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.