5 Bedrooms House for Rent at Kijitonyama, Dar Es Salaam


Stand Alone Kubwa Sana Inapangishwa
Mahali: Kijitonyama
Bei: 2,000,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 12
Compound Kubwa Sana Gari 15
☑️Inatizama Lami
☑️Vyumba 5, Vitatu Ni Master
☑️Sebule (2) Dining (2) Jiko (2) & Choo (2)
☑️Fensi & Parking Ya Kutosha
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz