5 Bedrooms House for sale in Mikocheni, Dar Es Salaam


NYUMBA YA VYUMBA 5,TSHS.$530,000, MIKOCHENI-A.
Ni Jirani na KAIRUKI.
Nyumba ina nafasi,
Mtaa tulivu na Salama.
Vyumba 5 vya kulala (Masta 2)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna nyumba ndogo.
Vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,464.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________msMk



















