3 Bedrooms House for sale at Goba, Dar Es Salaam







INAUZWA NA BANK, TSHS.53 MILIONI, WAHI NJOO, GOBA MATOSA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.
Hii ni nyumba ya kisasa YAKUHAMIA.
Ipo ndani ya Fensi.
Vyumba 3 (Masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room na Choo cha Familia ndani.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.