3 Bedrooms House for sale at Kinyerezi, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.165 MILIONI, KINYEREZI/KIBAGA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
KIMEPIMWA (HATI bado kutoka)
Ipo umbali wa mita 500 kutoka Barabara ya Lami.
Vyumba 3( Masta 1) Sebule,Jiko Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ni nyumba nzuri ya kisasa ya KUHAMIA.
Ina Tiles,Gypsum,Dirisha za Vioo,
AC na Parking yakutosha yenye Paving.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________zw
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.