3 Bedrooms House for sale at Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3. NDANI YA FENSI,TSHS55 MILIONI, KIVULE.
Hii nyumba ipo KIVULE FREM KUMI.
Jirani na Hospitali na karibu pia ya
Kituo cha Daladala.
Ni Daladala moja tu kufika Mjini.
INAHITAJI UMALIZIAJI MDOGO)
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mskv