3 Bedrooms House for sale at Kongowe, Pwani


NYUMBA YA-KUMALIZIA, TSHS.18 MILIONI, KONGOWE -MBAGALA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii ni nyumba ya Familia inayojitegemea.
Ina Vyumba 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.
Ipo umbali wa wastani wa kilomita 2 kutoka ilipo Barabara ya Lami.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________mpg