3 Bedrooms House for sale at Ukonga, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI, JIRANI NA BARABARA, UKONGA MZAMBARAUNI.
Ina vyumba 3 (Masta1 )
Pia Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ipo ndanj ya Fensi ma jirani na Barabara ya Lami.
(Gari moja kufika Mjini)
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.