2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


π£Nyumba ya Bei Poa Inapangishwa KIMARA KOROGWE
π Kodi Tsh 300,000/= Γ6
_
___________
β’ Vyumba 2 vya Kulala (Kimojawapo ni Master)
β’ Sebule Kubwa
β’ Jiko
β’ Dinning
β’ Public Toilet
* Inajitegeme UMEME
* Haina Fensi ila Eneo salama
* Maji ndani
#Umbali wa Km 1.5, usafiri bajaji 500 ukishuka unapigateke mlango
_______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 300,000/=
#Kupelekwa kuona ni 15,000/=
#0753172516