2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


π¨π₯#NYUMBA INAPANGISHWA
βββββ
πKimara Bucha
πUmbali kutoka standi ya mwendo kasi Dakika 9_10 kwa mguu boda boda 1000 Tu mpaka getini kwako
#SIFAZAKE
π²Vyumba Viwili, vya kulala
π²Sebule
π²Jiko
π²Public Toilet Ya ndani
π²Umeme Luku Yake
π²Maji meter yake na yanaflow ndani
π²Fensi waya& Parking Kubwa
π Mazingira mazuri sana Usalama wa kutosha hakuna uswahili hapa
π·Kodi Tsh 350, 000/= miezi 6
π·Malipo ya Dalali Tsh 350, 000/=
π·Service Charge. Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu π
O627977383