2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







APARTIMENT INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI #250k
=========
Vyumba 2 vya kulala kimojawapo master bedroom Sebule kubwa , Jiko na Public toilet ndani
======
Bei:250,000 kwa mwezi x 6
=====
Ndani ya fence apartiments zipo mbili ,kila apartiment Inajitegemea umeme na Maji
====
Umbali KM 2.5 Usafiri wa bajaji upo
=====
Kupelekwa kuona Nyumba elfu 15 itadumu mpaka Upate bila kuchajiwa Tena
=======
Nyumba ipo wazi kabisa luksa kulipia na kuhamia hata sasa
====
CONT
0683234124
0718367179