2 Bedrooms House for Rent at Madale, Dar Es Salaam


🏡 STAND ALONE YA KISASA INAPANGISHWA – MADALE | TSH 1,000,000
Fursa ya kuishi Madale kwenye nyumba safi, yenye nafasi nzuri na mazingira tulivu!
📍 Mahali: Madale
🔹 Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba 2 vyote Master bedrooms
❄️ Vyumba vyote vinafungwa A/C
🛋️ Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha
🍳 Open kitchen (jiko la wazi)
🍽️ Dining area
🚽 Public toilet kwa wageni
💧 Maji ya uhakika na umeme
🚗 Parking inatosha magari 3
💰 Kodi: TSh 1,000,000 kwa mwezi
🗓 Malipo: Kuanzia miezi 4
📞 Wasiliana Nasi:
#0689138795whatsapp
#0758998074👈
---
#NyumbaInapangishwa #Madale #StandAlone #MakaziMazuri #RealEstateTZ