2 Bedrooms House for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inapangishwa bei laki 3 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea, Nyumba IPO mbagala chamazi mikumi. Nyumba ina rooms 2 vyakulala, sitting room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo, full A/c ndani, garden, unajitegemea umeme luku yk pamoja na maji pia mita yk, fensi ipo ya parking, yaan ni stand alone house. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 7 ivi kwa kutembea kwa migu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.