2 Bedrooms House for Rent in Tabata, Dar Es Salaam


NJOO UOKOTE!!!
🏠 NYUMBA INAUZWA – TABATA SANANEE MACHIMBO
Unatafuta nyumba ya kuishi au uwekezaji wa kupangisha? Hii hapa fursa murua!
📍 Location: Tabata Sananee Machimbo
💰 Bei: Milioni 23 tu (maongezi yapo kidogo kwa mteja makini)
Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 2 vya kulala
✅ Sebule
✅ Choo cha nje
✅ Umeme upo tayari
✅ Nyumba ya kisasa
✅ Tayari kwa kuhamia mara moja
💡 Unaweza kubadilisha mpangilio kulingana na mahitaji yako:
• Kuweka open kitchen ndani ya sebule
• Kubadili chumba kimoja kuwa jiko
• Kubaki na chumba kimoja cha kulala
Inafaa kwa:
🏡 Makazi binafsi
💼 Biashara ya kupangisha
Hii ni nyumba ya kuchukua mapema, si ya kuacha!
📞 Piga simu sasa tufanye biashara.
Dalali wako Wakishua 🔑



















