2 Bedrooms House for Rent at Tabata, Dar Es Salaam


Nyumba inapangishwa sh 250000 kwa mwezi ina vyumba 2 chumba kimojawapo master, sebule kubwa, public toilet, umeme na maji unajitegemea, nyumba inatazamana na lami, nyumba zipo 4 ndani ya fence, location tabata kinyerezi kibaga songasi dar es salaam Tanzania
Muhitaji piga sim
☎️ Calls/Whatsapp 0768682919
0653233641
Service survey change tsh 20000
1 month to agent