House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam
300,000x6. 0759151524
APARTMENT INAPANGISHWA LOCATION KIMARA MWISHO KM 1,5 KUTOKA MOROGORO ROAD KIMARA
NYUMBA ZIPO 3 KWENYE FENCE MOJA KIRA MOJA INAJITEGEA UMEME NA MAJI WAHI BEI SHILLING 300,000 X 6
SIFA YA NYUMBA NI
Vyumba viwilli vya kulala kimoja ni master bedroom Sebule kubwa na jiko zuli open kitchen
NYUMBA NI MPYA MPYA
Hii nyumba Inakua tayali. / 6 /2/ 2025 /
Kuona nakulipa unaluhusiwa
Kuperekwa kuona nyumba Shilling 15,000 Itadum mpaka upate nyumba
Ukipenda na kulipa Dalali utampa hela ya mwez mmoja
CALL. 0679 956 863
CALL 0759151524