House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 250,000

(250,000X6)KIMARA BARUTI DK 10 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD
➖➖➖➖➖➖➖➖
APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 250,000/= X 6

ITAKUWA WAZI KUANZIA TAREHE 30/10/2024 KUONA NDANI RUKSA KABISA ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO

🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO

#CHUMBA MASTER BEDROOM KUBWA SANA
#SEBULE KUBWA SANA
#JIKO KUBWA SANA
#PUBLIC TOILET YA NDANI KWA NDANI
#PARKING KUBWA
#ZIPO APARTMENT 3 KWENYE FENSI MOJA NA HII MOJA NDIO INAPANGISHWA
#MAJI DAWASA YANATOKA NDANI MASAA 24

BEI NI 250,000/= X 6

💫💫 APARTMENT HII IPO KIMARA BARUTI UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI NJIA ILIYOWEKWA LAMI YA KUELEKEA CHUO KIKUU NA KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 10 TUU NA NJIA NI LAMI TUPU HADI KWENYE NYUMBA

KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA

NOTE:- APARTMENT HII ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 30/10/2024 AU MAPEMA ZAIDI YA HAPO NA KUONA NDANI RUKSA KABISA ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
CONTACT US:-
0716223412
0683597453

dalali_goba_goba_goba_goba_goba
dalali_ubungo_ubungo_kimara_
dalali_goba_goba_goba_goba_goba

Similar items by location

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA SUKA KM1 KUTOKA LAMI BODA BUKU--------Vyumba 2 vya kulala hakuna ma...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA TEMBONI DK10 KWA MIGUU KUTOKA LAMI -------Chumba kikubwa Seble kubwa...

House for sale at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

APARTMENT MPYA KABISA ZINA PANGISHWANA ZIMEBAKI CHACHE KIMARA BARUTI DK14 KWA MIGUU KUTOKA LAMI BOD...

House for sale at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

APARTMENT MPYA KABISA ZINA PANGISHWANA ZIMEBAKI CHACHE KIMARA BARUTI DK14 KWA MIGUU KUTOKA LAMI BOD...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

APARMENT NZURI SANA KUBWA SANA INAPANGISWA KIMARA TEMBON UMBAL DK 15 KWA MGUUCHUMBA MASTER SEBLE KUB...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

(250,000X6)KIMARA BARUTI DK 10 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD➖➖➖➖➖➖➖➖APARTMENT NZURI YA KISASA INAPA...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

(250,000X6)KIMARA BARUTI DK 10 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD➖➖➖➖➖➖➖➖APARTMENT NZURI YA KISASA INAPA...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

APARMENT NZURI SANA KUBWA SANA INAPANGISWA KIMARA TEMBON UMBAL DK 15 KWA MGUUCHUMBA MASTER SEBLE KUB...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

APARMENT NZURI SANA KUBWA SANA INAPANGISWA KIMARA TEMBON UMBAL DK 15 KWA MGUUCHUMBA MASTER SEBLE KUB...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

📣 Inapangishwa KIMARA SUKA📍 Kodi 250,000/= ×3 (lipia hata miezi mitatu)__________• Vyumba 2 vya ku...