House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


Apartment kali sanaa
@
Inapangishwa
@‘
Bei 300.000 kwa mwez
@
Mahali kimara korogwe
@
Chumba sebule jiko choo
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Umeme mita yako na maji pia parkingi ipo
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687