House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







APARTMENT INAPANGISHWA LOCATION KIMARA SUKA DK 12 KUTEMBEA
SIFA YA NYUMBA NI
Vyumba viwilli vya kulala sebure na jiko hakuna master madilisha silaid window 🪟 nyumba ipo Kwenye fence Umeme wakwako maji mnashea 3
Balabala nzuli hadiapo
BEI SHILLING 250,000 X 6
Kuperekwa kuona nyumba Shilling 15,000 Itadum mpaka upate nyumba
Ukipenda na kulipa Dalali utampa hela ya mwez mmoja
PIGA SIMU
+255 684 88 14 29
+255 658 58 64 49
MSHATI