House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







0679 997610
APARTMENT NZURI KIBACHELA (STUDIO ) INAPANGISHWA BEI NI 150K
πAPARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO
CHUMBA MASTER KIKUBWA SANA
CHUMBA CHENYE CHOO NDANI KIKUBWA
MAJI DAWASA YANATOKA NDANI MASAA 24
HAKUNA JIKO
HAKUNA SEBULE
LUKU WANASHEA WATU 2 TUU
IPO NDANI YA FENSI NA PARKING KUBWA
FULL GARDEN
FULL SECURITY
BEI NI 150,000/= X 6
π«π«APARTMENT HII IPO KIMARA_TEMBONI UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI
KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 12 TUU KWA MIGUU AU UNAWEZA UKAPANDA BAJAJI NA UKISHUKA TUU UNAPIGA TEKE MLANGO
KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 20 TUU



















