House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


πΉπΏ Apartments Nzuri za kisasa zinapangishwa, MBEZI MWISHO njia ya GOBA MAKABE
π Kodi ni Tsh 300,000/= Γ6
_________
___
β’ Chumba Master Kikubwa
β’ Sebule Kubwa
β’ Jiko zuri
β’ Choo Kingine Cha wageni wako
* Inajitegemea UMEME na MAJI
* MAJI yanatoka Ndani
* Fensi
* Parking
* Mazingira Mazuri na Tulivu
#Umbali wa 1Km kutoka Morogoro Road, usafiri upo wa Bajaji na Daladala
____________
*MUHIMU SANA:-*
#Malipo ya Dalali Nasoni ni Tsh 300,000/=
#Gharama ya kupelekwa kuona ni Tsh 15,000/=
β:- 0753172516