House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







*APARTMENTS 6 zinauzwa Milioni 33 maongezi yapo📍Zipo MBEZI MWISHO MAKABE MSAKUZI* Dar es salaam - Tanzania
â—‡Apartment mbili ni Sebule na Chumba master kodi ni laki 200,000
â—‡Apartment 4 ni chumba chumba kila Mpangaji analipa kodi Elf 50 kwa kila chumba
â—‡Makusanyo ya kodi kwa mwezi kwa wapangaji wote ni laki (400,000) Kwa mwaka mzima ni milioni (4800,000)
â—‡Apartments zote 6 zimejaa wapangaji
â—‡Plot size Sqmt 200
â—‡Document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)
*Bei shilingi milioni 33 maongezi yapo*