1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 APARTMENT #INAPANGISHWA
📍kimara korogwe
🕑Dakika 12 -15 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi Usafili boda 1000 hii nyumba unaweza pita kimara mwisho
🔹SIFAZAKE
🔹Chumba, Kimoja master
🔹Yani chumba na choo ndani
🔹Umeme luku wana share 2 Tu Maji yanaflow chooni
🔹Fenced inajengwa Car Parking kubwa
👉Mazingira Tulivu Sana
📌Gharama za Maji Taka & Usafi wa nje na Taka maji ya kisima ni Tsh 125,000/= (Kwa miezo Yote Sita) pesa hii llipwe pamoja na kodi,hauto sumbuliwa mpaka miezi 6 ishee
🔸Kodi Tsh 150,000/=x6 (Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali roony Tsh 150,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_📞simu
#0627977383.& Whatsap
#please #Follow us 🙏
Karibu Sana Mteja😊