5 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kinyerezi, Dar Es Salaam


(apartment 2 tu) nyumba hii inapangishwa laki-500000/=kwa mwezi mmoja-1.....laki-5..... inavyumba vitatu vya kulala vikubwa..... kimojawapo ni master-room..... sebule kubwa.... Diening Safi kubwa.... jiko ndani kubwa lenye makabati.... public toilet ndani.... full-A/C....maji ndani safi ya dawasco..... space-parcking kubwa..... peving-brock.... mazingira mazuri turivu Sana....ni apartment 2 tu ndani ya fensi moja.....kila nyumba inajitegemea umeme na Maji.... nyumba ipo kinyerezi kibaga shule songasi......dares saalam.....kwa mawasiliano zaidi sim no.0752151589......0711819241 me..... dalali Michael kinyerezi yote..... Instagram.... Facebook.... Twitter.... YouTube..... Kodi ya miezi-4 anachukuwa.....bila kusahau-dalali hela yake ya mwezi mmoja-1..... sevice charge-15000/=dalali Michael kinyerezi yote..... napatikana kinyerezi mwisho.....dares saalam..... Tanzania...