3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


π£ Apartment Nzuri ya Kisasa Inapangishwa
MBEZI MWISHO karibu Na Stand ya Mabasi ya Mikoani
π Kodi Tsh 800,000/= Γ6
_
___________
β’ Vyumba 3 vya Kulala (Kimojawapo ni Master)
β’ Sebule
β’ Jiko la kisasa
β’ Dinning
β’ Choo na Bafu vya Public
* A/c Sebuleni na kwenye Master
* Heater ya Maji ya Moto
* Garden
* Inajitegeme UMEME na Maji
* Parking Kubwa
* Mazingira Tulivu
#Umbali wa Mita 800 tu kutoka Magufuli Bus Stand
_______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 800,000/=
#Kupelekwa kuona ni 20,000/=
#0753172516