2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Iyumbu, Dodoma


DODOMA TOWN
APARTMENT ZINAUZWA
ZIPO APARTMENT NNE
Ndani zina wapangaji…. Zipo nyumba nne
Kila nyumba ina vitu vifuatavyo
1. 2 Bed rooms zote ni master bed rooms
2. Sebule
3. jiko
4. umeme unajitegemea
5. ndani ya fence
6. maji yapo all the time meter ni prepaid.
7. umbali wa barabara ni meter 50 kuingia lami ya iyumbu njia ya kwenda UDOM au Benjamin Hospital i mean zinaonekana ukiwa lami
8. ukubwa wa eneo ni sqm 903.
9. Ndani zipo nne na zote zina wapangaji wanalipa 300k per month inamaana unanunua apartment na unaendelea kula kodi mdogo mdogo.
Ask price 230m net
0767241001