2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kijitonyama, Dar Es Salaam


Apartment Mpya Inapangishwa
Mahali: Kijitonyama
Bei: 1,000,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
☑️Inatizama Lami
☑️Vyumba 2, Kimoja Ni Master
☑️Sebule, Jiko & Choo
☑️Fensi & Parking
☑️Inajitegemea Umeme Na Maji
☑️Reserve Tank & Maji Dawasa 24/7
Ukihitaji Na Fanicha Ni 2,500,000
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Mara Moja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Ofisi Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#DalaliMasterTz #MasterMijengo