2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







šØš„#APARTMENT #INAPANGISHWA
āāāāā
šKimara Korogwe
škutoka standi ya mwendo kasi km1 usafili boda 1000 kwa mguu dk 15 mpaka Kwenye nyumba
#SIFAZAKE
š²Vyumba Viwili, kimoja Master
š²Sebule
š²Jiko open kitchen
š²Public Toilet ya ndani
š²Umeme Luku Yake
š²Maji meter yake na yanaflow ndani
š²Fensi & Parking Kubwa
š HII inafaulishwa inakuwazi date 26/04/2025 kuona ndani na kufanya maripo inarusiwa kabisa
š·Kodi Tsh 350, 000Ć miezi 5,6/=
š·Malipo ya Dalali Tsh 350, 000/=
š·Service Charge. Tsh 15, 000/=
______________
MAWASILIANO 0656623510
WSP 0752436347