2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam


Apartment inapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 5 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala maji matitu., ina rooms 2 vyakulala, sitting room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo, tiliz, madilisha vioo, mafeni juu panga boy yapo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 8 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.