2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







(300,000 × 6) #MBEZI_KWA_MSUGURI 🔥 Mwenye kuwahi awahi🔥
APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 300,000/= × 6
🌟APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO
#VYUMBA 2 VIKUBWA VYA KULALA
#HAKUNA MASTER BEDROOM
#SEBULE KUBWA
#JIKO KUBWA
#CHOO KIZURI (PUBLIC TOILET )
#LUKU NA MITA YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA
#PARKING KUBWA
#FULL SECURITY
BEI NI 300 000/= × 6
💫💫APARTMENT HII IPO MBEZI KWA MSUGURI
KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 2
Bajaji 700
Bodaboda 1000 mpaka mlangoni
Service charge ni shilingi 15,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:
0654101710
0787205300