2 Bedrooms House/Apartment for Rent in Namanga, Arusha


Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
300 SQM
Description
NYUMBA ZA BIASHARA (APARTMENTS) TATU ZINAUZWA KWA PAMOJA..
LOCATION TEGETA NAMANGA DAR
Apartments Tatu (3) Kati Ya hizo Mbili Ni Vyumba Viwili,Sebule Na Choo Chake Kuna wapangaji Kodi 200k Kwa Mwezi Kila Moja.
Pia Kuna Chumba Kimoja Self Contained Na Sebule Kuna Mpangaji Kodi 150k Kwa Mwezi
Umiliki: Hati Miliki (TITLE DEED)
Ukubwa Wa Eneo: SQM 300
Umbali: Meter kama 100 Tu Kutoka Barabara kuu Ya Lami (Bagamoyo Road)
Bei : 69 Million (Maongezi Yapo)
Gharama Za Kwenda Site Ni Tshs 50,000/=
Mawasiliano Whatsapp au normal calls 0784919453...
Kujiunga na group letu la Whatsapp bonyeza hapa π https://chat.whatsapp.com/BLDVlGxAuXH2z2p5y9u9fq?mode=gi_t
.
.
.
.
.
.
.
.
#business #home #regrann #plot #apartment

















