2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Ubungo, Dar Es Salaam


Apartment Mpya Inapangishwa
Mahali: Ubungo Maziwa Karibu Na Fly Over
Bei: 700,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
☑️Vyumba 2, Kimoja Master
☑️Sebule Jiko & Choo
☑️Fensi Ya Umeme
☑️Umeme Na Maji Mita Yako
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 15000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja
Whatsapp: O677370515
Call:
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏