Plot for sale at Kigamboni, Dar Es Salaam


📍NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI KIBADA..
📍Nyumba inavyumba 4 vya kulala Viwili master, sitting, daining,Sitoo , jiko NK..
📍Nyumba inaumilik kamil wa wizara pia ukubwa wa eneo ni Sqm 600
📍Nyumba inaumeme, kisima cha maji na imebakiwa na malekebisho madogo
📍Bei ya nyumba ni million 150
☎️0789020004
NB: Gharama za kupelekwa kuangalia nyumba ni Shilingi erf 20,000