Plot for sale at Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA NA BANK, TSHS27 MILIONI, KIVULE.
Pia nyumba Ina Frem/Maduka 3.
Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 600.
Umiliki ni wa MKATABA WA MAUZIANO.
Ni mita 300 tu kutoka Barabara kuu.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
______________mpg
Nyumba Ina jumla ya vyumba 3 vya kulala ambapo Masta ni moja. Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali.