Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam


◇Nyumba yenye Eneo Sqmt 1590 Inauzwa milioni 150 Maongezi yapo 📍Ipo Mbezi mwisho Centar
*Distance* Mita 100 kutoka Barabara ya lami
-Nyumba ia vyumba 3 vya kulala, master bedroom 1, sitting room, dinning room, kitchen na public toilet
-Nyumba ina Servant Quarter mbili za chumba sebule na chumba kimoja single.
-Plot size Sqm 1590
◇Pia panafaa sana kwa Apartments, Hotel, Lodge Nk
◇ Ukiwa kwenye nyumba stendi ya Magufuli bus terminal inaonekana vyema sana
-Document; Clean TITTLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
*Bei shilingi milioni 150 maongezi yapo kwenda. Kukagua. Nyumba
Tunachaji 30000 ya kununua piga
0784422099
0715422099
0746218111