Plots for sale at Mabwepande, Dar Es Salaam


OFA OFA OFA!
Ni msimu wa Sikukuu nasi tukasema tusikuache kinyonge, Hiki hapa tunakupa ofa ya sikukuu mteja wetu.
—
Utalipia Tsh 4,900,000/= ( milioni nne na laki tisa tu)
__
Ukubwa wa kiwanja: kina mita 22 kwa 20.
__
Location: kipo MABWEPANDE YA BUNJU. Nyuma ya secondary ya mabwepande.
__
Pamejengeka majirani kuna umeme na maji.
—
Tupigie simu : 0675-200 300 au 0789-100 100
.............................
vijana_realestate
Tembelea Ofisi zetu: TEGETA AZANIA CHIEF HOUSE, ghorofa ya kwanza.
#vijana #vijanarealestate #estate #viwanja #ofaofa