Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 40,000,000
Project
Yes

OFA YA VIWANJA KUTOKA KAMPUNI YA RAMAHA LAND .NJOO NA LAKI MBILI NA KISHA ULIPE KIDOGO KIDOGO NDANI YA MIEZI SITA . MBAGALA MBANDE MIPEKO
_____________________________________
0699088721)!0674582245whtasp
_____________________
SITE ZIPO NYINGI ZENYE OFA NI MBILI

Site ya kwanza ni site ya milioni moja na laki tatu anza na laki mbili kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi sita

Site ya pili ni ya sh milioni moja na laki tano anza na laki tatu kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitano

Ukubwa ni fut 50 kwa 40 pia unaweza kuunganisha hata sita

Umeme upo na maji ya DAWASA yapo fika ujionee mwenyewe.

Viwanja unavyoviona kwenye picha ndivyo vilivyo ni tambarale safi kabisa na wala siyo vile vya kujaa maji

Viwanja vipo ,,,, MBAGALA MBANDE MIPEKO,,,,,, Jilani na uwanja wa mpira wa Azam uliopo Dar es salaam wilaya ya Temeke kata ya Chamazi. Umbali kutoka uwanja wa Azam mpaka kwenye viwanja ni kilomita nne tu. Ukitaka kufika mbande panda gari K /Koo,Temeke, Tandika, Posta na Buza nauli 700/=had Mbande magengeni shuka. Chukua bodaboda 🏍 1000 bajaji 🛺 500 hadi saiti
____________________________________
Ukubwa wa kiwanja na Bei zake

Futi 50 kwa 40 =million 1,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,200,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,300,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,500,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,600,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,800,000/=
Futi 50 kwa 40 =million 2,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,200,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,500,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 3,000,000/=

KWA MITA KUNA
SQM 180
SQM 360
SQM 540
SQM 720
SQM 1080 ______________________________________
Huduma zote za kijamii zipo kwa mfano
Maji✓
Shule✓
Umeme✓
Zahanati✓
Balabala✓

Ofisi yetu ipo wazi kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni. Njoo ofisini twende site ukachagua kiwanja bora kwa makazi bora na salama.

Na unaweza ukaunganisha zaidi ya kimoja

Karibuni sana wateja KAMPUNI YA RAMAHA LAND uaminifu ni %%%100%%%

_____________________

Shaban Maige
shabanimaige
Shaban Maige

Similar items by location

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi manispaa ya temeke dar es salaam Bei milioni { 60,000,000/= milio...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi manispaa ya temeke dar es salaam Bei milioni { 60,000,000/= milio...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi mbande dar es salaamBei milioni { 35,000,000/= milioni }075912874...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi mbande dar es salaamBei milioni { 35,000,000/= milioni }075912874...

Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 9,600,000

KAMPUNI YA RAMAHA LAND TUMEKULETEA SITE MPYA YENYE VIWANJA ZAIDI YA 300 KWA SH 1,600,000/___________...

Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 9,600,000

KAMPUNI YA RAMAHA LAND TUMEKULETEA SITE MPYA YENYE VIWANJA ZAIDI YA 300 KWA SH 1,600,000/___________...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 185,000,000

NYUMBA MPYA INAUZWA IPO MBAGALA CHAMAZI MANISPAA YA TEMEKE DAR ES SALAAMBEI MILIONI { 185 } MILIONI0...

3 Bedrooms House for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

Nyumba inapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 5 nakuendelea. Nyumba ipo mbagala maji ...

3 Bedrooms House for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

Nyumba inapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 5 nakuendelea. Nyumba ipo mbagala maji ...

2 Bedrooms House for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

SOLD OUT XXX! Nyumba inapangishwa ipo mbagala chamazi mikumi bei laki 3 kwa mwezi kodi kuanzia miezi...