Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 9,600,000
Project
Yes

KAMPUNI YA RAMAHA LAND TUNAWATANGAZIA KUWA ILE SITE YENYE VIWANJA 300 IMEKWISHA NDANI YA MIEZI MITATU.

BAADA YAHIYO TUMEKULETEA SITE MPYA YENYE VIWANJA 620 KWA SH 1,600,000/ IMEPAKANA NA HIYO ILIYOISHA
_____________________________________
0741194541 , 0699088721)!0674582245whtasp
____________________________

Viwanja vipo ,,,, MBAGALA MBANDE MIPEKO,,,,,, Jilani na uwanja wa mpira wa Azam uliopo Dar es salaam wilaya ya Temeke kata ya Chamazi. Umbali kutoka uwanja wa Azam mpaka kwenye viwanja ni kilomita nne tu. Ukitaka kufika mbande panda gari K /Koo,Temeke, Tandika, Posta na Buza nauli 700/=had Mbande magengeni shuka. Chukua bodaboda 🏍 1000 bajaji 🛺 700 hadi Mipeko zilipo site zetu.

UKUBWA WA VIWANJA
Fut 50 kwa 40 Tsh 1,600,000/ anza na laki nane

KWA MITA KUNA MITA
12×15= 1,600,000/
24×15= 3,200,000/
24×30= 6,400,000/
30×36= 9,600,000/
24×45= 9,600,000/

Anza na 50/% nusu ya bei kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu.

Site hii ina sifa zote
Ni tambarale
Maji yapo
Umeme upo
Imepakana na shule ya msingi ya Mipeko C
Ipo karibu na sekondari ya Tambani
Imepakana na eneo lililotengwa kwa ajili ya zahanati.


KUNA SITE ZINGENE ZAID YA KUMI UNAWEZA KUANZA NA LAKI TANO KISHA UKALIPA KIDOGO KIDOGO NDANI YA MIEZI MITANO HADI SITA
Kwa ukubwa wa fut 50 kwa 40 kuna
Site ya 1,200,000/
Site ya 1,300,000/
Site ya 1,500,000/
Site ya 1,600,000/
Site ya 1,800,000
Site ya 2,000,000/
Site ya 2,200,000/
Site ya 2,500,000/
Site ya 3,000,000/

ZOTE ZIPO MBAGALA MBANDE MIPEKO

Njoo utembelee leo. Ukifika ofisini kwetu gari za kukupeleka site ni bure kabisa. Una ngoja nini.

RAMAHA LAND ni baba lao

Kwa mawasiliano zaidi piga 0741194541 ,0699088721 au 0674582245

Similar items by location

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa Mbagala chamanz📌BEI MILION 70 INAPUNGUAVyumba vitatuJipsam umeme na majiWhatsap au p...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 50,000

NYUMBA MPYA VYUMBA 3, TSHS.68 MILIONI, MBAGALA SAKU/MZAMBARAUNI. Hii ni nyumba nzuri YAKUHAMIA. Ni m...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa Mbagala chamanz📌BEI MILION 70 INAPUNGUAVyumba vitatuJipsam umeme na majiWhatsap au p...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa Mbagala chamanz📌BEI MILION 70 INAPUNGUAVyumba vitatuJipsam umeme na majiWhatsap au p...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa Mbagala chamanz📌BEI MILION 70 INAPUNGUAVyumba vitatuJipsam umeme na majiWhatsap au p...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa Mbagala chamanz📌BEI MILION 70 INAPUNGUAVyumba vitatuJipsam umeme na majiWhatsap au p...

Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 3,000,000

HAYA SASA MRADI WA VIWANJA VYA MAKAZI NA BIASHARA. MRADI NI MPYA VIWANJA VIPO MBAGALA KONGOWE MLAMLE...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 68,000,000

BOSS HBARI YAKONAUZA HII NYUMBA TSH MIL 68 TUIPO MBAGALA SAKU MZAMBALAUNI JIJI LA DAR ES SALAM WILAY...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 68,000,000

BOSS HBARI YAKONAUZA HII NYUMBA TSH MIL 68 TUIPO MBAGALA SAKU MZAMBALAUNI JIJI LA DAR ES SALAM WILAY...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

Apartment inapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala cha...

Plot for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

INAUZWA MBAGALA MAJI MATITU YENYE SIFA HIZOVYUMBA V4 KULALA VYOTE MASTER,SEBLE,JIKO,DINNING NA CHOO ...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 40,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi Saku mwisho nyumba ya vyumba4 vya Kulala master bedroom stingiroo...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 68,000,000

NYUMBA KALLI SANA INA UZWA TSH MIL 68 TUNYUMBA IPO MBAGALA CHAMAZI MTAA WA SAKU JIJI LA DAR ES SALA...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 40,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi Saku mwisho nyumba ya vyumba4 vya Kulala master bedroom stingiroo...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi Saku mwisho nyumba ya vyumba vya Kulala masters bedroom stingiroo...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi Saku mwisho nyumba ya vyumba vya Kulala masters bedroom stingiroo...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 90,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi nyumba ya vyumba 3vya Kulala masters bedroom stingiroom daingiroo...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 90,000,000

Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi nyumba ya vyumba 3vya Kulala masters bedroom stingiroom daingiroo...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 80,000,000

NYUMBA INAUZWA MBAGALA CHAMAZI MANISPAA YA TEMEKE DAR ES SALAAM BEI MILIONI 80,000,000/= MILIONI 0...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 100,000

DATE: 30/6/2025HOUSE FOR RENT: APARTMENTASKING PRICE: LAKI 1TERMS OF PAYMENT: MIEZI 4DIRECTION: MBAG...