Plots for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 2,000,000
Project
Yes

HAPA NI ZINGA BAGAMOYO BARABARANI, UKIONA BANGO HILO JUA MRADI WETU NDIO UPO HAPOHAPO.

TUNATOA HATI BURE KABISA HAPA

πŸ“Œ Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka mwaka mzima yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa mwaka mzima.

πŸ“Œ Malipo utaanza na 2milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya mwaka mzima.

πŸ“Œ Ukimaliza malipo hati yako unaikuta mezani ofisini kwetu.

πŸ“Œ Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

πŸ“Œ Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

πŸ“Œ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

Apartiment house for rent nzuri kali sana Location mbezi kibanda cha mkaa km 2Kodi 350000 kwa mwezi ...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 500,000/= Γ—6 TU (Deposit ya 200,000/=)__MBEZI...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 100,000

IPO KWA MSUGURI DAKIKA 5 .MASTER YA KISASA 100,000/= X 6 TUπŸ“CHUMBA MASTERBEI NI 100,000/= X 6 MIEZ...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 120,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA KIBALAZA CHAKO KODI 120,000/= Γ—3 TU __LOCATION : MBEZI KILUVYA HAPA ...

House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

SOMA MAELEZO KWA UMAKINI HII NYUMBA UKITOKEA MBEZI KWA MSUGURI UNAFIKA NYUMBAN USAFIRI BAJAJ ELFU 10...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,400,000

DATE: 8/1/2026HOUSE FOR RENT: APARTMENTS ASKING PRICE: MILIONI 1.4TERMS OF PAYMENT: MIEZI 6DIRECTI...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT ZINA PANGISHWA MPYA KABISA MBEZI KWA MSUGURI DK6 KWA MIGUU KUTOKA LAMI ------Chumba master...

5 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 300,000,000

Nyumba Nzuri Ya Ghorofa InauzwaMahali: Mbezi Luiz Near Magufuli Bus TerminalBei: Milioni 300 (Mazung...

House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 400,000

HOUSE FOR RENT APARTMENT ZIPO 2 KWENYE COMPOUND MOJAIPO MBEZI BEACH MASANA NJIA YA GOBA,.KITUO CHA 4...

House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 180,000,000

Nyumba inauzwa 3berLoc Mbezi beach Africana Bei tsh mil 180Sqm 600

1 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

#CHUMBA_SEBULE_JIKO_CHOO INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI-MBEZI BEACH KWA ZENA______________KO...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,400,000

#VYUMBA_VITATU APARTMENT INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI-MBEZI BEACH MASANA______________KODI...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

KAMA UNATAKA UKAE SEHEM NZURI WAHI HAPAWALE WASANII WALE MABOSS WASHUA KARIBU NYUMBA MPYA KISASA WAH...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 500,000/= Γ— 6 TUMBEZI KWA MSUGURI HAPA MBIO Z...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 500,000/= Γ— 6 TUMBEZI KWA MSUGURI HAPA MBIO Z...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 450,000,000

Ploti for sale Price milioni 450 mL maongezi kidogoLocation mbezi beach africanaUpande wachiniUkubwa...

2 Bedrooms Furnished House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,890,000

Apartment InapangishwaIna Kila Kitu Ndani (Fully Furnished)Mahali: Mbezi Beach , Dar-Es-Salaam, Tanz...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 600,000/= Γ—6 TU__MBEZI KWA MSUGURI HAPA MBIO ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

Apartment Classic For Rent ✨️ Location: MBEZI MWISHO Kuelekea Malamba Kituo TanescoDistance: KM 1.2 ...

House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 39,000,000

Plot for sale (Pagale linauzwa)Country:- TanzaniaCity:- Dar es salaamPrice:- Million 39 Tanzanian sh...