Plots for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 2,000,000
Project
Yes

ZINGA ZINGA ZINGA BAGAMOYO

SWIPE LEFT πŸ‘‰πŸ‘‰.........

TUNATOA HATI BURE KABISA HAPA

ENEO LIPO KATI YA KEREGE NA ZINGA TOWN BAGAMOYO

πŸ“Œ Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka mwaka mzima yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa mwaka mzima.

πŸ“Œ Malipo utaanza na 2milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya mwaka mzima.

πŸ“Œ Ukimaliza malipo hati yako unaikuta mezani ofisini kwetu.

πŸ“Œ Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

πŸ“Œ Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

πŸ“Œ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

πŸ“Œ Mitaa tumeichonga vizuri na barabara za mitaa tumeweka kubwa size ya 10mita. Unangoja nin kununua sehemu kama hii maana bei ni kama tumegawa bure.

πŸ“Œ Majirani wapo tayari na huduma kama maduka ya vitu vidogo vidogo yapo hapo hapo site.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APATIMENTI KALI SANA YA KISASA INAPANGISHWAIPO MBEZI MAGUFULI STENDIUMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI ...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 80,000,000

KIWANJA SAFI KABISA KINAUZWA MBEZI LUGULUNI KM 1NJIA MKEKA SAFI SANAUMEME MAJI YAPO JIRANIMTAA WA K...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APATIMENTI KALI SANA YA KISASA INAPANGISHWAIPO MBEZI MAGUFULI STENDIUMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI ...

3 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

NYUMBA SAFI KUBWA YA FAMILIA INAUZWA NI YA KUNUNUA NA KUAMIA INA TILLES GYPSUM SAFI NA MAJI YAPO DAW...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APATIMENTI KALI SANA YA KISASA INAPANGISHWAIPO MBEZI MAGUFULI STENDIUMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI ...

House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

HII SI YAKUJIULIZA WALE WANAO PENDA KUKAA NYUMBA MPYA UNAZINDUA MWENYEWE IYO HAPO NJOO WAI CHAPU BEB...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APATIMENTI KALI SANA YA KISASA INAPANGISHWAIPO MBEZI MAGUFULI STENDIUMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI ...

3 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE STAND ALONE MBEZI KWA MSUGURI KM2 KUTOKA LAMI -----Vyumb...

2 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 450,000

(450,000X6)MBEZI MWISHO KWA YUSUPH β€”β€”#APARTMENT_FOR_RENT_MBEZI_MWISHO_KWA YUSUPH#VYUMBA VIWILI VYA K...

1 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 270,000

(270,000X6)MBEZI KIBANDA CHA MKAA β€”β€”#APARTMENT_FOR_RENT_AT_MBEZI_KIBANDA_CHA_MKAAA#CHUMBA KIMOJA CHA...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 55,000,000

β€”β€”KIWANJA KINZURIπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ KINAUZWA MBEZI KWA MSUGURI (KM 1)BEI NI MILIONI 55 MAOEGEZI YAPOKIPO MTAA WA...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 80,000,000

KIWANJA KINAUZW bei POWAH MILION 80SQM 2000KIKUBWA SANA KIZURI#0785888413 Mbezi Luguluni km 1

1 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 270,000

#APARTMENT_FOR_RENT_AT_MBEZI_KIBANDA_CHA_MKAAA#CHUMBA KIMOJA CHA KULALA#SEBULE KUBWA#JIKO NZURI LENY...

House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

Apartment House for rent Chumba sebule jiko choo Price 400,000Kwamwezi Malipo miezi 6Location mbezi ...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 6,500,000

BEACH HOTEL FOR SALE MBEZI BEACHDescription β€’ Direction: White Sands Road β€’ Plot Area: Sqm 8,000 β€’Do...

1 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 270,000

#APARTMENT_FOR_RENT_AT_MBEZI_KIBANDA_CHA_MKAAA#CHUMBA KIMOJA CHA KULALA#SEBULE KUBWA#JIKO NZURI LENY...

Plot for sale at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 80,000,000

KIWANJA KINAUZW bei POWAH MILION 80SQM 2000KIKUBWA SANA KIZURI#0785888413 Mbezi Luguluni km 1

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

APARTMENT KALI SANA INAPANGISHWA KODI 600,000X6 LOCATION: MBEZI MSUGULIDAKIKA 3 KWA MGUU TOKA LAMIIN...

1 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 270,000

#APARTMENT_FOR_RENT_AT_MBEZI_KIBANDA_CHA_MKAAA#CHUMBA KIMOJA CHA KULALA#SEBULE KUBWA#JIKO NZURI LENY...

5 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 800,000

NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE MBEZI MWISHO NJIA YA MALAMBA MAW...