Retail Space for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


*APARTMENT NZURI YA KIBACHELA*
*CHUMBA MASTER SEBURE*
*INAPANGISHWA*
*KIMARA TEMBONI*
๐ฅ *KODI YAKE 150K X3//*
๐ *ILIPWE LAKI MOJA NA NUSU KWA MWEZI MALIPO YA MIEZI MITATU NA KUENDELEA.*
*N:B""PIA HAPA KUNA MASTER BEDROOM SINGLE AMBAYO CO KUBWA SANA๐,*
*๐ฅKODI YAKE 100K X3*
*SIFA ZAKE NI:_*
# *CHUMBA MASTER*
# *SEBURE SAFI*
# *TILES*
# *GIPSAM*
# *ALMINIUM*
# *MAJI DAWASA METER YAKE*
*#MAJI YANAFLOW NDANI*
# *UMEME SUBMETER YAKE*
๐ก *APARTMENT HIZI ZIPO KIMARA TEMBONI UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAELEKEA MBEZI*
*UMBALI WAKE KUTOKEA MOROGORO ROAD MPAKA KWENYE NYUMBA NI KM2.5*
*BAJAJI TSH700/=*
*BODA TSH1,500/=*
*๐๏ธNYUMBA ZIPO NDANI YA FENCE, PARKING KUBWA USALAMA WAKUTOSHA*
*๐คPIA HIZO FRAME HAPO NJE ZINAPANGISHWA, KODI YAKE 50K X3*
PIGA SIMU 0789049684
๐ก *KARIBUNI SAANA*๐