Retail Space for Sale at Kimara, Dar Es Salaam


INAUZWAAA!! Nyumba Kubwa yenye FREMU Mbele na SERVANT QUARTER Inauzwa
π KIMARA TEMBONI
π Bei 80M
__________
___
#Kiwanja chake kina ukubwa wa SQM 1,200
β
Nyumba Ina Fremu 5 mbele
β
Nyumba Ina Vyumba 3 vya kulala (kimojawapo Master Kubwa sana), Sebule kubwa, Dinning, Jiko, Store na Public Toilet
β
Pia kuna SERVANT QUARTER ya Vyumba 2 vya kulala, Sebule na Jiko
#Umbali wa 1Km bodaboda 1,000
#Upande wa Kushoto kama unaenda Mbezi
#Kina Hati ya Mauziano ya Serikali ya Mtaa
#Bei ni 80,000,000/=
_________
#Kupelekwa kuona 30,000/=
β:- 0753172516