Plots for sale at Madale, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 80,000
Project
Yes

KAWAIDA YETU KUUZA ENEO LIKIWA SAFI NA MUONEKANO MZURI

MADALE MIVUMONI - eneo tambalale kabisa

■■ Viwanja vipo jirani kabisa na barabara kuu ya kutoka Goba kuelekea Madale.

■■ Hapa tumepima viwanja 20 tu na vyote vipo sehemu ambayo unatoka barabara kubwa mita chache unaingia ndani kwako hapo hapo.

■■ Viwanja vimepimwa na vipo katikati ya maeneo ambayo yote yamepimwa na yamepangika vizuri.

■■ Viwanja vipo sehemu ambayo kwenda katikati ya mji ni mwendo wa dakika kadhaa tu.

■■ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

BEI ZA VIWANJA NA UKUBWA WAKE

Bei hapa ni 80,000Tsh kwa sqm 1 ya mraba na malipo yake ni CASH . Katika suala la bei maongezi yapo kidogo.NJOO OFISINI

Viwanja vya hapa vina ukubwa kuanzia sqm 600[upana 20mita × urefu 30mita] mpaka sqm 1500[upana inakuwa 30mita x urefu 50mita].

Inamaana hapa viwanja vimeanzia milioni 40 mpaka milioni 120 kutokana na ukubwa unaotaka wewe mnunuaji tu.

UMBALI WA PROJECT YA VIWANJA

1km kutoka Madale centre na 1km kutoka madale road(Barabara ya Lami, ingawa barabara ya kwenda eneo la project ni kubwa (30mita) na inafikika katika kipindi chote cha mwaka iwe masika iwe jua

Nauli kutoka Mbezi Magufuli Stand au Tegeta mpaka Madale ni sh. 500 tu kwa daladala na kutoka barabara ya Lami kwenda site hata kwa miguu unaenda vizuri kabisa mana ni karibu.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI #0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na ndio wamiliki wa mradi.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

2 Bedrooms House for Rent at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

Nyumba Inapangishwa. Inajitegemea, Ipo Tegeta MadaleIna Vyumba viwili ni Master, Dining Room, Sittin...

2 Bedrooms House for Rent at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

NYUMBA INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- TEGETA MADALE_______________NYUMBA NZURI YA KISASA__...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

✨ NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA – MADALE FLAMINGO! 🏡Unatafuta nyumba iliyo tayari kuhamia, yenye m...

Plot for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 30,000,000

KIWANJA KIZURI KINAUZWA,SQM 500 PLUS,maji na umeme vipopamepimwa tayarmadale,bei 30m maongezi yapo07...

4 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 330,000,000

HOUSE FOR SALELOCATION TEGETA MADALE MIVUMONIPRICE MILLION 330 (MAONGEZI YAPO KIDOGO)4BEDROOM2MASTER...

4 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 330,000,000

A Furnished House For Sale Location:Tegeta Madale Mivumoni Plot Size Sqm 700Documents:Pamepimwa Hati...

2 Bedrooms House for Rent at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

🏡 STAND ALONE YA KISASA INAPANGISHWA – MADALE | TSH 1,000,000Fursa ya kuishi Madale kwenye nyumba s...

5 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000,000

✨ GHOROFA YA KISASA INAUZWA – MIVUMON, MADALE! 🏡🏊‍♀️Unatafuta nyumba ya kifahari iliyojaa kila kit...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

✨ NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA – MADALE FLAMINGO! 🏡Unatafuta nyumba iliyo tayari kuhamia, yenye m...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

✨ NYUMBA INAUZWA – MADALE | KM 1.5 TOKA LAMI 🏡Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa, ipo kwenye eneo tuliv...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

Nyumba nzuri sana ya kisasa ya kumalizia finishing inauzwa:Nyumba ipo mtaa mzuri sana ni kona plot R...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

Nyumba nzuri sana ya kisasa ya kumalizia finishing inauzwa:Nyumba ipo mtaa mzuri sana ni kona plot R...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

Nyumba nzuri sana ya kisasa ya kumalizia finishing inauzwa:Nyumba ipo mtaa mzuri sana ni kona plot R...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

✨ NYUMBA INAUZWA – MADALE | KM 1.5 TOKA LAMI 🏡Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa, ipo kwenye eneo tuliv...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

HOUSE FOR SALELOCATION MADALEDISTANCE 1.5KM FROM MAIN ROADPRICE MILLION 1653BEDROOMALL ROOM MASTER B...

5 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,300,000,000

GOROFA KAL LINAUNZWA””LINA VYUMBA VITANO””UKUBWA WA KIWANJANI SQMT 1500””OFFER ( BILLION 1.3)””MAONG...

5 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,300,000,000

#Repost Dalalimbezibeach_semba • • • • • •GOROFA KAL LINAUNZWA””LINA VYUMBA VITANO””UKUBWA WA KIWANJ...

Plot for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

KIWANJA KINAUZWA – MADALE MWISHO | FURSA YA UWEKEZAJI!Kiwanja kizuri kinauzwa, kipo sehemu tulivu in...

3 Bedrooms House for sale at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

✨ NYUMBA INAUZWA – MADALE | KM 1.5 TOKA LAMI 🏡Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa, ipo kwenye eneo tuliv...

2 Bedrooms House for Rent at Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

STANDALONE MPYA ZINAPANGISHWA;💧Location :: MADALE FLAMINGO💧Bei :: 1,000,000Tsh Malipo Kwanzia Mi...