Plots for sale at Mwananyamala, Dar Es Salaam


Kama bado hujaiyona fursa,basii imeshakufikia
Pata viwanja kwa bei ya punguzo kubwa kuwahi kutokea, kwa Tsh.800,000 tu unamiliki kiwanja Chalinze๐ฅ๐ฅ
Viwanja vinapatikana CHALINZE
-Bei ya sqm 1 ni Tsh.2,000 tu
- Bei ya sqm 400 (20*20) ni Tsh.800,000 tu
-Kilometa 4 tu kutoka barabara kuu kufika kwenye mradi
-Viwanja vinahati ya wizara (Hati kubwa)
-Malipo ni ndani ya miezi 12
MALIPO
-Malipo ya mwezi
Tsh.67,000 kila mwezi
-Malipo ya wiki
Tsh.16,800 kila wiki
NB:Malipo yote yanafanyika bank,fika ofisini ili kujaza mkataba wa mauziano ili uweze kupata na Risiti halali ya malipo.
Safari za kwenda kuona viwanja ni kila juamamosi.
Viwanja vinaanzia ukubwa wa Sqm 400 (20*20) Hadi sqm 4,000 (70*70), jichagulie ukipendacho na sisi tutakupatia kwa
Gharama nafuu na kwa huduma za hali ya juu
SIFA ZA MRADI:
-Mradi huu umepakana na kiwanda cha tiles cha Twyford kilichopo chalinze
-Viwanja vimepimwa na kila kiwanja kina Alama (Pin)
-Ramani za viwanja ziko Approved kutoka Halmashauri
Tupigie No. โ๏ธ 0 699 543 621
Ofisi zetu zinapatikana Mwananyamala